Mshambuliaji wa Juventus Cristiano Ronaldo akisikitika baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu usiku wa Jumatano kufuatia kugombana na Jeison Murillo wa Juventus wakati wa mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Mestalla. Juventus imeshinda 2-0, mabao yote akifunga kiungo wa kimataifa wa Bosnia & Herzegovina, Miralem Pjanić na yote kwa penalti dakika za 45 na 51 na kilichomponza Ronaldo ni kwenda kumrudishia Murillo akiwa hana mpira baada ya kuchezewa rafu kwenye boksi na beki huyo Mcolombia. Hiyo ni kadi nyekundu ya 11 kwa Ronaldo kihistoria kwenye soka, lakini ya kwanza kwenye Ligi ya Mabingwa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Padres' Updated Lineup, Payroll After Reported Luis Arráez Trade with
Marlins
-
Luis Arráez is reportedly heading to the San Diego Padres after the Miami
Marlins traded him for reliever Woo-Suk Go and prospects Dillon Head, Jakob
Marsee,…
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment