Winga Muargentina, Angel Di Maria akimuinua mshambuliaji Mbrazil, Neymar kumpongeza baada ya kuifungia mabao mawili Paris Saint-Germain dakika za 22 na 90 na ushei katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Nice kwenye mchezo wa Ligue 1, Ufaransa jana Uwanja wa Allianz Riviera mjini Nice. Bao lingine la PSG limefungwa na Christopher Nkunku dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Aussie swimming champion Ariarne Titmus announces exciting new career after
quitting the pool for love
-
Ariarne Titmus retired from swimming late last year - and her EXCITING next
move has now been revealed
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment