Bondia Muingereza, Anthony Joshua (kushoto) akifurahia baada ya kumshinda mpinzani wake, Mrusi Alexander Povetkin kwa Knockout (KO) raundi ya saba usiku wa Jumamosi Uwanja wa Wembley mjini London na kuongeza mkanda wa WBA katika orodha ya mataji yake, mengine yakiwa ni ya IBO, IBF na WBO na sasa anakabiliwa na pambano la kuwania taji la WBC linaloshikiliwa na Mmarekani Deontay Leshun Wilder ili awe bingwa wa dunia wa uzito wa juu asiyepingika PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Swedish court orders detention of Russian captain of tanker boarded off
Sweden
-
A Swedish court on Sunday ordered the detention of the Russian captain of a
ship that was suspected to be sailing under a false flag in the Baltic Sea
and ...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment