Bondia Muingereza, Anthony Joshua (kushoto) akifurahia baada ya kumshinda mpinzani wake, Mrusi Alexander Povetkin kwa Knockout (KO) raundi ya saba usiku wa Jumamosi Uwanja wa Wembley mjini London na kuongeza mkanda wa WBA katika orodha ya mataji yake, mengine yakiwa ni ya IBO, IBF na WBO na sasa anakabiliwa na pambano la kuwania taji la WBC linaloshikiliwa na Mmarekani Deontay Leshun Wilder ili awe bingwa wa dunia wa uzito wa juu asiyepingika PICHA ZAIDI GONGA HAPA
KC Concepcion, who was mocked by vile trolls over his speech impediment, is
selected in NFL Draft first round
-
A week ahead of the Draft he went viral with a letter to NFL GMs in which
he opened up on the stutter and told teams: 'I'm the best receiver in this
draft....
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment