Bondia Muingereza, Anthony Joshua (kushoto) akifurahia baada ya kumshinda mpinzani wake, Mrusi Alexander Povetkin kwa Knockout (KO) raundi ya saba usiku wa Jumamosi Uwanja wa Wembley mjini London na kuongeza mkanda wa WBA katika orodha ya mataji yake, mengine yakiwa ni ya IBO, IBF na WBO na sasa anakabiliwa na pambano la kuwania taji la WBC linaloshikiliwa na Mmarekani Deontay Leshun Wilder ili awe bingwa wa dunia wa uzito wa juu asiyepingika PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NEWCASTLE NOTEBOOK: The search for Dan Ashworth's replacement approaches
its final phase, Lewis Miley is set to miss the rest of the season... while
Toon stars celebrated Spurs win with the Wealdstone Raider!
-
CRAIG HOPE: Newcastle's players celebrated last Saturday's 4-0 win over
Tottenham in the company of The Wealdstone Raider, their unofficial minder
for the ...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment