Mshambuliaji Mbelgiji, Eden Hazard akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la ushindi dakika ya 85 ikiilaza Liverpool 2-1 usiku wa Jumatano Uwanja wa Anfield katika mchezo wa Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao. Hazard alifunga bao hilo baada ya kuingia dakika ya 56 kuchukua nafasi ya Willian, wakati bao lingine la Chelsea limefungwa na Emerson dakika ya 79, baada ya Daniel Sturridge kutangulia kuifungia bao zuri Liverpool dakika ya 58 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cameron Young breaks Matt Fitzpatrick's heart to win Players Championship
and take home $4.5m prize money after dramatic final round
-
After Ludvig Aberg threw away a final-round lead, Young made a crucial
birdie on the par-three 17th to set up a one-hole showdown with England's
world No 24.
30 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment