Kiungo zao la timu ya vijana, Grady Diangana akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili West Ham United dakika za 67 na 82 katika ushindi wa 8-0 dhidi ya Macclesfield kwenye mchezo wa Kombe la Ligi England Uwanja wa London. Mabao mengine ya West Ham yamefungwa na Michail Antonio dakika ya 29, Robert Snodgrass mawili dakika za 32 na 60, Lucas Perez dakika ya 39, Ryan Fredericks dakika ya 51 na Angelo Ogbonna dakika ya 54 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Why I kept my daughter’s birth secret — Adunni Ade
-
Nigerian-American actress and model, Adunni Ade, has revealed why she kept
the birth of her daughter away from the public eye for more than two years.
Th...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment