Mshambuliaji Mbelgiji wa Chelsea, Eden Hazard akipasua katikati ya mabeki chipukizi wa Waingereza wa Liverpool, Joe Gomez na Trent Alexander-Arnold katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Chelsea ilitangulia kwa bao la Hazard dakika ya 25 akimalizia pasi ya Mateo Kovacic kabla ya Daniel Sturridge kuisawazishia Liverpool dakika ya 89 akimalizia pasi ya Xherdan Shaqiri PICHA ZAIDI GONGA HAPA
🔥 On a par with Kane: Bundesliga striker posts incredible stats
-
Harry Kane (37), Michael Olise (29), and Luis Díaz (29) are dominating the
Bundesliga in terms of scorer points at will. However, currently, one
player is ...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment