Mshambuliaji Mbelgiji wa Chelsea, Eden Hazard akipasua katikati ya mabeki chipukizi wa Waingereza wa Liverpool, Joe Gomez na Trent Alexander-Arnold katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Chelsea ilitangulia kwa bao la Hazard dakika ya 25 akimalizia pasi ya Mateo Kovacic kabla ya Daniel Sturridge kuisawazishia Liverpool dakika ya 89 akimalizia pasi ya Xherdan Shaqiri PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olise tipped to follow Mbappé’s path at 2026 World Cup
-
Former France defender Gaël Clichy has backed Bayern Munich forward Michael
Olise to emerge as one of the standout players at the 2026 FIFA World Cup,
sa...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment