Gerard Pique akikimbia na Lionel Messi kurudisha mpira katikati baada ya kuifungia bao la kusawazisha Barcelona dakika ya 63 katika sare ya 2-2 na Girona Uwanja wa Camp Nou usiku wa jana. Hiyo ni baada ya Cristhian Stuani kuifungia mabao mawili Girona ndani ya dakika sita, dakika ya 45 na 51 kufuatia Messi kuanza kuifungia Barca dakika ya 19 katika mchezo wa La Liga. Barcelona ilimaliza pungufu baada ya refa, Gil Manzano kumtoa kwa kadi nyekundu Clement Lenglet dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roy Keane has a 'DINOSAUR mentality', blasts West Ham striker Michail
Antonio - after Man United legend made thinly-veiled dig at him for
podcasting and 'having a laugh' after defeats
-
Michail Antonio has hit out at Roy Keane's 'dinosaur mentality' after the
Manchester United legend criticised players who host podcasts.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment