• HABARI MPYA

    Saturday, September 29, 2018

    AGUERO AFUNGA LA PILI MAN CITY YAIKANDAMIZA BRIGHTON 2-0 ETIHAD

    Sergio Aguero akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Manchester City dakika ya 65 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Etihad. Bao la kwanza limefungwa na Raheem Sterling dakika ya 29 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AGUERO AFUNGA LA PILI MAN CITY YAIKANDAMIZA BRIGHTON 2-0 ETIHAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top