Nahodha wa Barcelona, Lionel Messi akipambana katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumatano wakichapwa mabao 2-1 na Leganes Uwanja wa Manispaa ya Butarque mjini Leganes. Mabao ya Leganes yalifungwa na Nabil El Zhar dakika ya 52 na Óscar Rodríguez dakika ya 53, wakati la Barce limefungwa na Philippe Coutinho dakika ya 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Donald Trump weighs in on Bryson DeChambeau controversy at The Open...
after American star threatened to call the President during meltdown
-
Trump addressed the drama that unfolded at Royal Birkdale, where DeChambeau
was docked two strokes during his second round for improving his lie on the
fif...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment