Romelu Lukaku akiwa ameshika tuzo yake baada ya kukabidhiwa kufuatia kuingia kwenye orodha ya wachezaji 28 tu kuwahi kufikisha mabao 100 kwenye Ligi Kuu ya England. Lukaku alifunga bao lake la 100 mwishoni mwa msimu uliopita kwenye mechi na Swansea City na mabao hayo amefunga akiwa na klabu za Manchester United, Chelsea, Everton na West Brom PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Frank Nazar scores OT power-play goal as Blackhawks beat Utah Mammoth 3-2
-
Frank Nazar scored a power-play goal with 2:24 left in overtime to give the
Chicago Blackhawks a 3-2 victory over the Utah Mammoth on Monday night.
Drew Co...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment