Romelu Lukaku akiwa ameshika tuzo yake baada ya kukabidhiwa kufuatia kuingia kwenye orodha ya wachezaji 28 tu kuwahi kufikisha mabao 100 kwenye Ligi Kuu ya England. Lukaku alifunga bao lake la 100 mwishoni mwa msimu uliopita kwenye mechi na Swansea City na mabao hayo amefunga akiwa na klabu za Manchester United, Chelsea, Everton na West Brom PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Washington Commanders sign 'male model' to backup No. 2 pick Jayden Daniels
at quarterback
-
The Washington Commanders have signed 'male model' quarterback Sam Hartman
as an undrafted free agent, according to multiple reports.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment