Renato Sanches (kulia) akishangilia baada ya kuifungia Bayern Munich bao la pili dakika ya 54 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya klabu yake ya utotoni, Benfica kwenye mchezo wa Kundi E Ligi ya Mabingwa usiku wa Jumatano Uwanja wa da Luz mjini Lisbon, Ureno kufuatia Robert Lewandowski kufunga bao la kwanza dakika ya 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mahama, Obasanjo, Shettima to speak at GJF 2026 Democracy Dialogue in Bauchi
-
African leaders, eminent jurists and democracy advocates, including the
President of Ghana, John Dramani Mahama; Nigeria's Vice President, Senator
Kashim...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment