Wachezaji wa Liverpool, Mohamed Salah na Roberto Firmino wakifanya mazoezi jana viwanja vya Melwood kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Chelsea Uwanja wa Stamford Bridge London. Liverpool inataka kulipa kisasi baada ya kufungwa 2-1 juzi katika mchezo wa Kombe la Ligi England Uwanja wa Anfiled na kutolewa mapema kwenye michuano hiyo maarufu kama Carabao Cup PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Newcastle star is named manager of new UAE side Al Qabila ahead of
their first top flight season in Dubai as the the club tease arrival of
'legendary' ex-defender
-
The club released a video on TikTok telling fans that they would be
unveiling their new head coach, who they said was a 'legend' whose
experience was 'unma...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment