Wachezaji wa Liverpool, Mohamed Salah na Roberto Firmino wakifanya mazoezi jana viwanja vya Melwood kujiandaa na mchezo wa kesho wa Ligi Kuu ya England dhidi ya Chelsea Uwanja wa Stamford Bridge London. Liverpool inataka kulipa kisasi baada ya kufungwa 2-1 juzi katika mchezo wa Kombe la Ligi England Uwanja wa Anfiled na kutolewa mapema kwenye michuano hiyo maarufu kama Carabao Cup PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Meghan Markle Gets Surprise Video Call from Prince Harry During “MasterChef
Australia” Appearance: ‘Have I Interrupted?’
-
The Duchess of Sussex appeared as a guest judge on the July 26 episode of
the reality competition series
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment