Mshambuliaji Pierre-Emerick akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Arsenal dakika za 32 na 56 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Vorskla Poltava kwenye mchezo wa Kundi E Europa League Uwanja wa Emirates mjini London. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Danny Welbeck dakika ya 48 na Mesut Özil dakika ya 74, wakati ya Vorskla yamefungwa na Volodymyr Chesnakov dakika ya 76 na Vyacheslav Sharpar dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
EXCLUSIVE: Blues Brothers! Mosese Tuipulotu could line up alongside Sione
for Scotland as Edinburgh swoop for 22-year-old centre
-
Scotland could feature two brothers as their centre pairing from next
season as Sione Tuipulotu's younger sibling Mosese closes in on a move to
Edinburgh R...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment