Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Juventus mabao yote dakika za 50 na 65 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Sassuolo kwenye mchezo wa Serie A Uwanja wa Allianz mjini Torino. Bao la Sassuolo limefungwa na Msenegal, Khouma El Hadji Babacar na Ronaldo amefunga kwa mara ya kwanza leo baada ya kucheza mechi tatu awali bila kufunga kufuatia kujiunga na timu hiyo kutoka Real Madrid kwa ada ya Pauni Milioni 100 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Weeping Casemiro and his crying wife reveal why they decided he must leave
Man United - after waiving clause to continue his £375,000-a-week contract
-
In a farewell documentary released by United, stars - including Bruno
Fernandes - paid tribute to the midfielder before Casemiro and his wife
Anna both sat...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment