Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia Juventus mabao yote dakika za 50 na 65 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Sassuolo kwenye mchezo wa Serie A Uwanja wa Allianz mjini Torino. Bao la Sassuolo limefungwa na Msenegal, Khouma El Hadji Babacar na Ronaldo amefunga kwa mara ya kwanza leo baada ya kucheza mechi tatu awali bila kufunga kufuatia kujiunga na timu hiyo kutoka Real Madrid kwa ada ya Pauni Milioni 100 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Thomas Frank breaks cover at Brentford amid Tottenham's relegation battle -
as ex-Bees manager returns to the club as a guest for the first time since
quitting to join Spurs last summer
-
Thomas Frank was in the stands to watch his former club Brentford take on
Fulham in Premier League action in his first public appearance since being
sacked...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment