Canelo Alvarez (kushoto) akimchapa Gennady Golovkin alfajiri ya leo katika pambano la marudiano baina yao ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas, Marekani kuwania mataji ya IBO, WBA na WBC uzito wa Middle. Alvarez alishinda kwa pointi majaji wawili, 115-113 huku mwingine akitoa droo 114-114. Golovkin alilalamika kudhulumiwa kwa mara ya pili baada ya pambano la mwaka jana kutolewa droo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
From Belfast to the World Cup - McDermott's American odyssey
-
Mick McDermott tells BBC Sport NI of his pride at being involved with Ghana
at the World Cup, his relationship with Carlos Quieroz and their hopes of
shock...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment