Canelo Alvarez (kushoto) akimchapa Gennady Golovkin alfajiri ya leo katika pambano la marudiano baina yao ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas, Marekani kuwania mataji ya IBO, WBA na WBC uzito wa Middle. Alvarez alishinda kwa pointi majaji wawili, 115-113 huku mwingine akitoa droo 114-114. Golovkin alilalamika kudhulumiwa kwa mara ya pili baada ya pambano la mwaka jana kutolewa droo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sex, drugs and potting balls: The wildest snooker hellraisers to grace The
Crucible - from the Ladies Man of Bolton who cavorted on the table with
Page 3 models to the star downing 24 pints BEFORE a game
-
Don't let the waistcoats and polished shoes fool you, the pristine world of
the baize is in complete contrast to the depravity explored by some of the
lege...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment