Canelo Alvarez (kushoto) akimchapa Gennady Golovkin alfajiri ya leo katika pambano la marudiano baina yao ukumbi wa T-Mobile Arena mjini Las Vegas, Marekani kuwania mataji ya IBO, WBA na WBC uzito wa Middle. Alvarez alishinda kwa pointi majaji wawili, 115-113 huku mwingine akitoa droo 114-114. Golovkin alilalamika kudhulumiwa kwa mara ya pili baada ya pambano la mwaka jana kutolewa droo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Report: Vlad Goldin Withdraws from 2024 NBA Draft; Will Transfer to
Michigan from FAU
-
Former FAU center Vladislav Goldin is withdrawing his name from NBA draft
consideration and transferring to Michigan, according to ESPN's Adrian
Wojnarowski.…
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment