Lionel Messi akinyoosha kidole juu kushangilia baadsa ya kuifungia mabao matatu Barcelona dakika za 31, 77 na 87 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya PSV Eindhoven kwenye mchezo wa Kundi B Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne Uwanja wa Camp Nou. Bao lingine la Barca limefungwa na Ousmane Dembele dakika ya 74. Barca ilimaliza pungufu baada ya Samuel Umtiti kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 79, kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
World Cup: Everything to know about England vs Croatia match
-
England and Croatia will renew their modern World Cup rivalry when both
sides clash in a highly anticipated Group L encounter at the 2026 FIFA
World Cup....
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment