Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp akishangilia na mshambuliaji wake, Mbrazil Roberto Firmino baada ya mechi kufuatia kutokea benchi na kuifungia timu hiyo bao la ushindi dakika ya 90 na ushei ikiwalaza Paris Saint-Germain 3-2 katika mchezo wa Kundi C Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Anfield usiku wa Jumanne. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Daniel Sturridge dakika ya 30 na James Milner kwa penalti dakika ya 36 kufuatia Georginio Wijnaldum kuchezewa rafu, wakati mabao ya PSG yamefungwa na Thomas Meunier dakika ya 40 na Kylian Mbappe dakika ya 83 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Deion, Shedeur Sanders Attend Lil Wayne Performance After Colorado
Spring Game
-
Colorado head coach Deion Sanders adopted the work hard, play hard concept
for his team's spring game this year. The Buffs took the field Saturday for
their…
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment