Kiungo wa Azam FC, Salum Abubakar 'Sure Boy' (kulia) akipambana na mchezaji wa Mwadui FC jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara Uwanja wa Mwadui Complex mjini Shinyanga. Timu hizo zilitoka sare ya 1-1.
Beki Mzimbabwe wa Azam FC, Bruce Kangwa (kulia) akitia krosi mbele ya beki wa Mwadui FC
Kiungo wa Azam FC, Joseph Mahundi (kushoto) akiuwahi mpira dhidi ya mchezaji wa Ndanda FC
Kiungo wa Azam FC, Mudathir Yahya akiwatoka wachezaji wa Mwadui FC
Kikosi cha Azam FC kilichoanza katika mechi ya jana
Steve Davis gives BBC pundit death stare live on TV after incredibly
awkward comment at the World Snooker Championship in Sheffield
-
Former snooker star Steve Davis has given a BBC pundit a death stare on
live television after an incredibly awkward comment during the World
Snooker Champi...
54 minutes ago
0 comments:
Post a Comment