Mshambuliaji Romelu Lukaku akiwa juu kuifungia kwa kichwa Manchester United bao la kwanza dakika ya27 baada ya krosi ya Alexis Sanchez kabla ya kumtungua tena kipa wa Burnley, Joe Hart dakika ya 44 katika ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Turf Moor. Katika mchezo huo, Paul Pogba alikosa penalti dakika ya 69 na Marcus Rashford akatolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 71 kufuatia kuingia kuchukua nafasi ya Sanchez dakika ya 61 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rams GM Spoke to Aaron Donald About Potential Return for NFL Playoffs amid
Retirement
-
Los Angeles Rams general manager Les Snead revealed that he spoke with star
defensive tackle Aaron Donald about possibly returning for a playoff run
despite…
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment