Roberto Firmino akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 54, kufuatia Georginio Wijnaldum kufunga la kwanza dakika ya 39 kabla ya kiungo Muargentina, Erik Lamela kuifungia Tottenham Hotspur dakika ya 90 na ushei Wekundu hao wa Anfield wakishinda 2-1 Uwanja wa Wembley mjini London huo ukiwa ushindi wa tano mfululizo katika mechi zote tano za mwanzo za Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Racing driver's haunting final post just hours before tragic death in
seven-car crash during race that Formula One star Max Verstappen was taking
part in
-
A racing driver who was killed in a horror seven-car crash at Germany's
iconic Nurburgring circuit had shared his excitement at competing in the
event just...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment