Roberto Firmino akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 54, kufuatia Georginio Wijnaldum kufunga la kwanza dakika ya 39 kabla ya kiungo Muargentina, Erik Lamela kuifungia Tottenham Hotspur dakika ya 90 na ushei Wekundu hao wa Anfield wakishinda 2-1 Uwanja wa Wembley mjini London huo ukiwa ushindi wa tano mfululizo katika mechi zote tano za mwanzo za Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Luke Littler continues his red-hot form as he wins the Austrian Open title
after beating Joe Cullen - with Premier League leader lifting his second
PDC European Tour trophy in debut year
-
The 17-year-old produced another top-drawer display as he swept past 'The
Rockstar' 8-4 in the final, hitting four 180s with a match average of just
over 102.
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment