Roberto Firmino akikimbia kushangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la pili dakika ya 54, kufuatia Georginio Wijnaldum kufunga la kwanza dakika ya 39 kabla ya kiungo Muargentina, Erik Lamela kuifungia Tottenham Hotspur dakika ya 90 na ushei Wekundu hao wa Anfield wakishinda 2-1 Uwanja wa Wembley mjini London huo ukiwa ushindi wa tano mfululizo katika mechi zote tano za mwanzo za Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mohamed Salah APOLOGISED to Liverpool team-mates after 'thrown under the
bus' rant, reveals Curtis Jones - as he throws his backing behind Egyptian
-
Mohamed Salah apologised to his Liverpool team-mates after his infamous
rant, Curtis Jones has revealed.
38 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment