Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Arsenal dakika ya 81 ikiilaza Cardiff City 3-2 Uwanja wa Cardiff katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Shkodran Mustafi dakika ya 11 na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 62, wakati ya Cardiff City yamefungwa na Victor Camarasa dakika ya 45 na ushei na Danny Ward dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Premiership hangover! Broncos stars torn to shreds over horror footage
during shock loss against Parramatta
-
Two Broncos stars have been slammed by a host of NRL commentators following
their team's shock 40-32 defeat against Parramatta at Suncorp Stadium on
Thursday.
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment