Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Arsenal dakika ya 81 ikiilaza Cardiff City 3-2 Uwanja wa Cardiff katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Shkodran Mustafi dakika ya 11 na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 62, wakati ya Cardiff City yamefungwa na Victor Camarasa dakika ya 45 na ushei na Danny Ward dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Sheffield United relegated after defeat at Newcastle
-
Sheffield United's relegation from the Premier League is confirmed as
Newcastle recover from a sluggish start to thrash Chris Wilder's side at St
James' Park.
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment