Edin Hazard akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu Chelsea dakika za 37, 44 na lingine kwa penalti dakika ya 80 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Cardiff City leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Willian dakika ya 83 baada ya Cardiff kutangulia kwa bao la Souleymane Bamba dakika ya 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Wolves chairman QUITS: Angry fans get their wish as Jeff Shi steps down
after weeks of protests, with Rob Edwards' side heading for the Championship
-
TOM COLLOMOSSE: Jeff Shi has stepped down as executive chairman of Wolves
after a chaotic period on and off the pitch.
55 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment