Edin Hazard akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu Chelsea dakika za 37, 44 na lingine kwa penalti dakika ya 80 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Cardiff City leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Willian dakika ya 83 baada ya Cardiff kutangulia kwa bao la Souleymane Bamba dakika ya 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Biggest Surprises of the 2024 NFL Draft
-
The 2024 NFL draft is in the books. Hundreds of thousands of fans attended.
Millions more watched on television. Approximately all the barbecue ever
was ea...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment