Edin Hazard akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu Chelsea dakika za 37, 44 na lingine kwa penalti dakika ya 80 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Cardiff City leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Willian dakika ya 83 baada ya Cardiff kutangulia kwa bao la Souleymane Bamba dakika ya 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
From retirement to records - another immortal Messi moment
-
Ten years after announcing he was quitting international football, Lionel
Messi is still breaking records for reigning World Cup champions Argentina.
8 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment