Edin Hazard akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu Chelsea dakika za 37, 44 na lingine kwa penalti dakika ya 80 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Cardiff City leo Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao lingine la Chelsea limefungwa na Willian dakika ya 83 baada ya Cardiff kutangulia kwa bao la Souleymane Bamba dakika ya 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
El-Sayed Speaks With Obama As Michigan Democrats Seek Unity
-
Michigan Democratic Senate nominee Abdul El-Sayed has spoken with former
U.S. President Barack Obama as Democrats seek to unite following a divisive
primary.
15 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment