Pepe akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la kusawazisha dakika ya 32 katika sare ya 1-1 na Croatia kwenye mchezo wa Ligi ya Mataifa ya Ulaya Uwanja wa Do Algarve mjini Sao Joao da Venda, hilo likiwa bao lake la saba kuifungia timu yake hiyo ya taifa katika mechi ya 100 jana. Croatia ilitangulia kwa bao la Ivan Perisic dakika ya 18 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dangote Refinery, lower inflation to lift Nigeria’s new vehicle sales by
7.6% in 2026 – Report
-
Improved fuel supply from the Dangote Petroleum Refinery, moderating
inflation and government incentives are expected to keep Nigeria’s
automotive market...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment