Pepe akishangilia baada ya kuifungia Ureno bao la kusawazisha dakika ya 32 katika sare ya 1-1 na Croatia kwenye mchezo wa Ligi ya Mataifa ya Ulaya Uwanja wa Do Algarve mjini Sao Joao da Venda, hilo likiwa bao lake la saba kuifungia timu yake hiyo ya taifa katika mechi ya 100 jana. Croatia ilitangulia kwa bao la Ivan Perisic dakika ya 18 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Billy Vunipola was TEETOTAL for almost two years - but fell off
the wagon spectacularly in Majorca with drunken arrest after police
'Tasered him when he downed four Amarettos'
-
For the last 20 months, the younger of Saracens' two Vunipola brothers had
banished the booze as he strove to re-establish career momentum.
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment