Memphis Depay akishangilia baada ya kuifungia Uholanzi mabao mawili dakika za 60 na 83 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Peru kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Johan Cruijff Arena mjini Amsterdam. Bao la Peru limefungwa na Pedro Aquino dakika ya 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Soldier, vigilante die as troops rescue abducted NECO candidates in Borno
-
Troops of Operation HADIN KAI (OPHK) have rescued 10 candidates sitting for
the National Examinations Council (NECO) and their teachers abducted
during ...
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment