Bondia Rashid Matumla (katikati) akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje, Jakaya Mrisho Kikwete (baadaye Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) ofisini kwake mwaka 1999 baada ya kutwaa mkanda wa ubingwa wa dunia wa ngumi za kulipwa uzito wa Light Middle kwa kumpiga Mtaliano, Paolo Pizzamiglio Juni 5, mwaka huo mjini Piacenza. Kushoto ni aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Makame Rashid (sasa marehemu).
NBA Playoffs updates: Cavs in control vs. Raptors in Game 1 of East first
round
-
The title chase officially begins with 4th-seeded Cleveland vs. 5th-seeded
Toronto tipping off Saturday's slate of games. Who will take Game 1 of the
best-...
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment