Nahodha wa Liverpool, Jordan Henderson akisaini mkataba mpya wa miaka mitano kuendelea kuichezea timu hiyo leo. Kiungo huyo wa kimataifa wa England mwenye umri wa miaka 28 alijiunga na Liverpool mwaka 2011 akitokea Sunderland na hadi sasa amekwishacheza mechi 283 na kufunga mabao 24 na alipewa Unahodha baada ya kuondoka kwa Steven Gerrard PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kaduna Butchers excited over modernized abattoirs, cold rooms
-
Butchers in Kaduna have expressed excitement as governor Uba Sani
transformed meat preservation and marketing, by installing modern equipment
and cold-ch...
21 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment