Nahodha wa Liverpool, Jordan Henderson akisaini mkataba mpya wa miaka mitano kuendelea kuichezea timu hiyo leo. Kiungo huyo wa kimataifa wa England mwenye umri wa miaka 28 alijiunga na Liverpool mwaka 2011 akitokea Sunderland na hadi sasa amekwishacheza mechi 283 na kufunga mabao 24 na alipewa Unahodha baada ya kuondoka kwa Steven Gerrard PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Boston Red Sox fire manager Alex Cora and four coaches after their shocking
start to the MLB season
-
It comes just hours after the Red Sox beat the Baltimore Orioles 17-1 on
Saturday but their record for the season stands at 10-17.
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment