Roberto Firmino na Neymar wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Brazil dhidi ya Marekani kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa kuamkia leo Uwanja wa MetLife mjini East Rutherford, New Jersey, Marekani. Firmino alianza kufunga dakika ya 11 kabla ya kuangushwa kwenye boski na Neymar kufunga kwa penalti dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'He doesn't look right AT ALL': Gary Neville and Roy Keane lead critics in
picking out Bukayo Saka and other wingers as England's World Cup problem -
and predict when they will be knocked out
-
Saka has been having a persistent Achilles problem managed by the FA, after
playing through pain during the run-in for Arsenal at the end of last
season.
4 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment