Roberto Firmino na Neymar wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Brazil dhidi ya Marekani kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa kuamkia leo Uwanja wa MetLife mjini East Rutherford, New Jersey, Marekani. Firmino alianza kufunga dakika ya 11 kabla ya kuangushwa kwenye boski na Neymar kufunga kwa penalti dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
TAKING THE MIC: With a dad like Open Goal's Si Ferry, it's little wonder
Frankie Ferry likes to talk... but despite his tender years, this budding
commentator isn't afraid to tell it like it is
-
Thirteen-year-old Frankie Ferry is in a cafe in the East End of Glasgow,
sitting across the table from his dad and podcast pioneer Si who he's
followed int...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment