Roberto Firmino na Neymar wakipongezana baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-0 wa Brazil dhidi ya Marekani kwenye mchezo wa kirafiki usiku wa kuamkia leo Uwanja wa MetLife mjini East Rutherford, New Jersey, Marekani. Firmino alianza kufunga dakika ya 11 kabla ya kuangushwa kwenye boski na Neymar kufunga kwa penalti dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Roy Keane re-visits Erling Haaland 'League Two' comparison after the Man
City star his marked return from injury with a goal... as he jokes the
forward has earned an upgrade
-
Keane (bottom) made headlines for his scathing criticism of the forward
(top), who he slammed for his general play in a period when he was
struggling for f...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment