Mshambuliaji wa Fiorentina, Giovanni Simeone akiwapangua wachezaji wa Guatamela kabla ya kuifungia Argentina dakika ya 44 katika ushindi wa 3-0 kwenye mchezo wa kirafiki asubuhi ya leo Uwanja wa Makumbusho mjini Los Angeles, California. Mabao mengine ya Argentina iliyomkosa Nahodha wake, Lionel Messi yamefungwa na Gonzalo Martinez dakika ya 27 kwa penalti na Giovani Lo Celso dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Harry Kane bolsters quadruple hopes and Ballon d'Or bid as he fires Bayern
Munich into German Cup final
-
The striker scored his 52nd goal of the campaign as Bayern dispatched Bayer
Leverkusen 2-0 to reach the final of Germany's domestic cup for the first
time ...
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment