Mshambuliaji wa Fiorentina, Giovanni Simeone akiwapangua wachezaji wa Guatamela kabla ya kuifungia Argentina dakika ya 44 katika ushindi wa 3-0 kwenye mchezo wa kirafiki asubuhi ya leo Uwanja wa Makumbusho mjini Los Angeles, California. Mabao mengine ya Argentina iliyomkosa Nahodha wake, Lionel Messi yamefungwa na Gonzalo Martinez dakika ya 27 kwa penalti na Giovani Lo Celso dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'He doesn't look right AT ALL': Gary Neville and Roy Keane lead critics in
picking out Bukayo Saka and other wingers as England's World Cup problem -
and predict when they will be knocked out
-
Saka has been having a persistent Achilles problem managed by the FA, after
playing through pain during the run-in for Arsenal at the end of last
season.
3 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment