Mshambuliaji wa Azam FC, Mbaraka Yussuf Abeid (kushoto) akimtoka mchezaji wa Arusha United katika mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi mjini Dar es Salaam uliomalizika kwa sare ya 0-0
Winga wa Azam FC Ramadhani Singano 'Messi' akimtoka beki wa Arusha United
Beki wa Azam FC, Mzimbabwe Bruce Kangwa akimtoka beki wa Arusha United
Kiungo wa Azam FC, Salmin Hoza akimiliki mpira mbele ya kiungo wa Arusha United
Mshambuliaji wa Azam FC, Paul Peter akipiga mpira mbele ya mchezaji wa Arusha United
Hank Aaron's Great-Nephew Kimani Vidal Selected by Chargers in 2024 NFL
Draft
-
The Los Angeles Chargers selected Troy running back Kimani Vidal with the
No. 181 overall pick in the 2024 NFL draft on Saturday. Vidal shares a
special…
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment