Mesut Ozil (katikati) akifurahia na wenzake baada ya kuifungia Arsenal bao la pili dakika ya 58 ikishinda 2-1 dhidi ya wenyeji, Newcastle United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St James' Park. Bao la kwanza la Arsenal lilifungwa na Granit Xhaka dakika ya 49, wakati la Newcastle lilifungwa na Ciaran Clark dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lloyd Perrett: Footy star who suffered life-threatening seizure at training
will sue club after his mate died of heatstroke during session with the
same team
-
Lloyd Perrett claims he was never the same player after suffering the
terrifying medical episode in 2017, which he says left him 'literally on my
death bed...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment