Mesut Ozil (katikati) akifurahia na wenzake baada ya kuifungia Arsenal bao la pili dakika ya 58 ikishinda 2-1 dhidi ya wenyeji, Newcastle United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa St James' Park. Bao la kwanza la Arsenal lilifungwa na Granit Xhaka dakika ya 49, wakati la Newcastle lilifungwa na Ciaran Clark dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Messi becomes World Cup all-time leading scorer - how has he stayed at the
top?
-
As he becomes the top goalscorer in World Cup history, BBC Sport explores
how Lionel Messi is still delivering on the biggest stage in his late 30s.
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment