Beki wa Uganda, Hassan Wasswa Mawanda akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Tanzania, Mbwana Samatta katika mchezo wa Kundi L kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika mwakani nchini Cameroon uliofanyika jana Uwanja wa Mandela, Namboole mjini Kampala, Uganda timu hizo zikitoka sare ya 0-0. PICHA KWA HISANI YA FIFA
Moses Waiswa wa Uganda akiondoka na mpira mbele ya beki wa Tanzania, Aggrey Morris
Kikosi cha Tanzania katika mchezo wa jana
Kikosi cha Uganda katika mchezo wa jana
Bucks' Damian Lillard Explains Game 6 Injury Decision: 'F--k It, I'm Going
to Play'
-
Damian Lillard missed Games 4 and 5 against the Indiana Pacers in the first
round of the NBA playoffs while dealing with an Achilles injury, but the
Milwau...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment