Danny Welbeck akiifungia England bao dakika za mwishoni ambalo hata hivyo lilikataliwa na marefa akidaiwa kumchezea rafu kipa David de Gea wa Hispania katika mchezo wa kirafiki usiku wa leo Uwanja wa Wembley mjini London. Hispania imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Saul Niguez dakika ya 13 na Rodrigo dakika ya 32, baada ya Marcus Rashford kutangulia kuifungia England dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mitchell scores 27 to set a WNBA record, Clark has 26 and the Fever beat
the Sky 90-86
-
Kelsey Mitchell scored 27 points to set a WNBA single-season record with
her 16th straight game of 20-plus points, Caitlin Clark had 26 points and
11 assis...
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment