Danny Welbeck akiifungia England bao dakika za mwishoni ambalo hata hivyo lilikataliwa na marefa akidaiwa kumchezea rafu kipa David de Gea wa Hispania katika mchezo wa kirafiki usiku wa leo Uwanja wa Wembley mjini London. Hispania imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Saul Niguez dakika ya 13 na Rodrigo dakika ya 32, baada ya Marcus Rashford kutangulia kuifungia England dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside Echono’s blueprint for reforming Nigeria’s universities
-
On June 18, 2026, at the Abuja Leadership Centre of Excellence of
University of Abuja (UniAbuja), the Executive Secretary of the Tertiary
Education Trust...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment