Danny Welbeck akiifungia England bao dakika za mwishoni ambalo hata hivyo lilikataliwa na marefa akidaiwa kumchezea rafu kipa David de Gea wa Hispania katika mchezo wa kirafiki usiku wa leo Uwanja wa Wembley mjini London. Hispania imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Saul Niguez dakika ya 13 na Rodrigo dakika ya 32, baada ya Marcus Rashford kutangulia kuifungia England dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cops take action over controversial footy commentator Paul Kent's wild
street fight outside a pub
-
The Fox Sports commentator has been suspended from that role and his job
with the Daily Telegraph while his employers investigate the alleged
incident outs...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment