Danny Welbeck akiifungia England bao dakika za mwishoni ambalo hata hivyo lilikataliwa na marefa akidaiwa kumchezea rafu kipa David de Gea wa Hispania katika mchezo wa kirafiki usiku wa leo Uwanja wa Wembley mjini London. Hispania imeshinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Saul Niguez dakika ya 13 na Rodrigo dakika ya 32, baada ya Marcus Rashford kutangulia kuifungia England dakika ya 11 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Karren Brady QUITS relegation-threatened West Ham with five games left of
the season after facing years of fan backlash due to controversial stadium
move and dire results
-
MIKE KEEGAN: Baroness Karren Brady has left West ham United. The
57-year-old has been at the club for 16 years and was vice-chair.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment