Kinda wa miaka 19, Kylian Mbappe akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Ufaransa dakika ya 14 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Uholanzi kwenye mchezo wa Ligi ya Mataifa ya UEFA uliofanyika Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Ryan Babel aliisawazishia Uholanzi dakika ya 67 kabla ya Olivier Giroud kuifungia la ushindi Ufaransa dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Al-Fayed survivors complain to watchdog about Met Police’s handling of case
-
The Independent Office for Police Conduct (IOPC) is deciding what further
action to take on three victims’ complaints made this week.
6 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment