Kinda wa miaka 19, Kylian Mbappe akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Ufaransa dakika ya 14 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Uholanzi kwenye mchezo wa Ligi ya Mataifa ya UEFA uliofanyika Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Ryan Babel aliisawazishia Uholanzi dakika ya 67 kabla ya Olivier Giroud kuifungia la ushindi Ufaransa dakika ya 74 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Vote for United Women's April Player of the Month
-
Three nominations, but only one can win - who gets your pick?
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment