Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Duwa Said (kulia) na Hussein Masha na George Masatu (kushoto) wakiwa na wachezaji wa Liberia, Wiiliam Fahnbullah na George Weah Februari 22, Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam kabla ya mchezo wa kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika uliomalizika kwa sare ya 1-1. Masatu, Duwa, Masha na Fahnbullah wote wachezaji wa Simba SC.
Netherlands' Broadcaster Pulls Out of Eurovision Again Over Israel's
Participation
-
AVROTROS, the Dutch public broadcaster, has announced that it will boycott
the 2027 Eurovision Song Contest for a second consecutive year…
1 minute ago



.png)
0 comments:
Post a Comment