Marco Asensio (kushoto) akifurahia na beki Sergio Ramos baada ya wote kufunga katia ushindi wa 6-0 dhidi ya Croatia iliyoongozwa na Mwanasoka Bora wa Ulaya, Luca Modric kwenye mchezo wa Ligi ya Mataifa ya Ulaya Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Asensio alifunga dakika ya 33, Ramos dakika ya 57 na mabao mengine yamefungwa na Kalinic aliyejifunga dakika ya 35, Rodrigo dakika ya 49 na Isco dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cristian Romero, Micky van de Ven and Xavi Simons gone, the rivals ready to
poach their young stars, a £250m black hole and why promotion will be an
uphill battle: This is what will happen if Tottenham get relegated
-
None of Spurs' players want to play second-tier football. They will think
they are elite players with international careers, image rights and sponsor
deals...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment