Marco Asensio (kushoto) akifurahia na beki Sergio Ramos baada ya wote kufunga katia ushindi wa 6-0 dhidi ya Croatia iliyoongozwa na Mwanasoka Bora wa Ulaya, Luca Modric kwenye mchezo wa Ligi ya Mataifa ya Ulaya Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Asensio alifunga dakika ya 33, Ramos dakika ya 57 na mabao mengine yamefungwa na Kalinic aliyejifunga dakika ya 35, Rodrigo dakika ya 49 na Isco dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Max Verstappen says Adrian Newey's shock departure will NOT impact his
future at Red Bull for 'the moment'
-
The reigning world champion addressed speculation he's reconsidering his
future at the team ahead of the Miami Grand Prix Thursday after news broke
of Newe...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment