Mshambuliaji wa Chelsea, Michy Batshuayi anayecheza kwa mkopo Valencia akishangilia baada ya kuifungia Ubelgiji mabao mawili dakika za 52 na 60 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Scotland katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Hampden Park mjini Glasgow, Scotland. Mabao mengine ya Ubelgiji yalifungwa na Romelu Lukaku dakika ya 28 na Eden Hazard dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Rumors: Kevin Durant 'Never Felt Comfortable' With Role in Vogel's Suns
Offense
-
The 2023-24 Phoenix Suns will go down as one of the most expensive
disappointments in NBA history, and Kevin Durant may want changes heading
into next seas...
15 minutes ago
0 comments:
Post a Comment