Mshambuliaji wa Chelsea, Michy Batshuayi anayecheza kwa mkopo Valencia akishangilia baada ya kuifungia Ubelgiji mabao mawili dakika za 52 na 60 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Scotland katika mchezo wa kirafiki Uwanja wa Hampden Park mjini Glasgow, Scotland. Mabao mengine ya Ubelgiji yalifungwa na Romelu Lukaku dakika ya 28 na Eden Hazard dakika ya 46 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ododo seeks expertise of retired power sector stalwarts to advance
Nigeria’s sector
-
Kogi State Governor, Alh. Usman Ododo, has called on retired professionals
in Nigeria's power sector to bring their vast experience and institutional
mem...
15 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment