Gareth Bale akishangilia baada ya kuifungia Wales bao la pili dakika ya 18 katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Ireland usiku wa jana Uwanja wa Cardiff City kwenye michuano ya Ligi ya Mataifa Ulaya, hilo likiwa bao lake la 30 anaifungia timu yake hiyo ya taifa katika mechi ya 71 kucheza. Mabao mengine ya Wales yalifungwa na Tom Lawrence dakika ya sita, Aaron Ramsey dakika ya 37 na Connor Roberts dakika ya 55 huku la Ireland likifungwa na Shaun Williams dakika ya 66 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Billy Vunipola was TEETOTAL for almost two years - but fell off
the wagon spectacularly in Majorca with drunken arrest after police
'Tasered him when he downed four Amarettos'
-
For the last 20 months, the younger of Saracens' two Vunipola brothers had
banished the booze as he strove to re-establish career momentum.
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment