Mshambuliaji wa Azam FC, Mbaraka Yussuf akimiliki mpira mbele ya beki wa Reha FC katika mchezo wa kirafiki asubuhi ya leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam uliomalizika kwa sare ya 2-2
Winga wa Azam FC, Ramadhani Singano 'Messi' akijaribu kutia krosi
Kiungo wa Azam Salum Abubakar 'Sure Boy' akiwatoka wachezaji wa Reha FC
Winga Mghana wa Azam FC, Ennock Atta-Agyei akitia krosi mbele ya beki wa Reha
Beki Mzimbabwe wa Azam FC, Bruce Kangwa akitafuta maarifa ya kumpita mchezaji wa Reha
Kiungo wa Azam FC, Salmin Hoza akimiliki mpira katikati ya Uwanja
Floyd Mayweather gifts $30k to homeless men before Clippers-Mavs Game 5 in
L.A.
-
The undefeated, retired boxing champion was headed to Crpyto.com for game 5
on Wednesday when he bumped into several men on the street in downtown
L.A., ac...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment