Wachezaji wa Chelsea wakishangilia na taji la ubingwa wa Kombe la FA baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Manchester United leo, bao pekee la Eden Hazard kwa penalti dakika ya 22 akimchambua vizuri David De Gea kufuatia yeye mwenyewe kuangushwa na Phil Jones kwenye boksi. Alexis Sanchez alidhani amefunga bao la kusawazisha kipindi cha pili, lakini akaambiwa alikuwa ameotea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nigeria orders investigation into second fake government agency
-
Nigeria's President Bola Tinubu on Friday ordered an investigation into a
man accused of creating and running a fake government agency, the second
such age...
7 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment