Wachezaji wa Chelsea wakishangilia na taji la ubingwa wa Kombe la FA baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Manchester United leo, bao pekee la Eden Hazard kwa penalti dakika ya 22 akimchambua vizuri David De Gea kufuatia yeye mwenyewe kuangushwa na Phil Jones kwenye boksi. Alexis Sanchez alidhani amefunga bao la kusawazisha kipindi cha pili, lakini akaambiwa alikuwa ameotea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Errands instead of espresso martinis? Why low-key hangs are redefining
friendship
-
All the hangouts currently en vogue, from admin nights to chore hangs to
body doubling, fit this ethos of trying to cultivate mundane intimacy in
hard times.
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment