Wachezaji wa Chelsea wakishangilia na taji la ubingwa wa Kombe la FA baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Manchester United leo, bao pekee la Eden Hazard kwa penalti dakika ya 22 akimchambua vizuri David De Gea kufuatia yeye mwenyewe kuangushwa na Phil Jones kwenye boksi. Alexis Sanchez alidhani amefunga bao la kusawazisha kipindi cha pili, lakini akaambiwa alikuwa ameotea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Hearts of Oak players are lining up Girls for fun- Former captain Amankwah
Mireku rips into stars after poor campaign
-
Former captain of Hearts of Oak, Amankwah Mireku has gone ballistic at he
current players of the club describing them as jokers following the team's
slump ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment