Mwenyekiti wa klabu ya Paris Saint-Germain, Nasser Al-Khelaifi (kushoto) akimkabidhi jezi ya klabu hiyo, kocha mpya, Thomas Tuchel wakati wa kumtambulisha jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa kufuatia kusaini mkataba wa hadi mwaka 2020 kuchukua nafasi ya Unai Emery anayeondolewa baada ya msimu huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Travis NFL Draft 2024: Scouting Report for New York Jets QB
-
HEIGHT: 6'1" WEIGHT: 200 HAND: 9" ARM: 31⅜" WINGSPAN: 76" 40-YARD DASH: N/A
3-CONE: N/A SHUTTLE: N/A VERTICAL: N/A BROAD: N/A POSITIVES — Above-average…
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment