Mwenyekiti wa klabu ya Paris Saint-Germain, Nasser Al-Khelaifi (kushoto) akimkabidhi jezi ya klabu hiyo, kocha mpya, Thomas Tuchel wakati wa kumtambulisha jana Uwanja wa Parc des Princes mjini Paris, Ufaransa kufuatia kusaini mkataba wa hadi mwaka 2020 kuchukua nafasi ya Unai Emery anayeondolewa baada ya msimu huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Investigators deem there was no criminal liability in car crash that killed
Diogo Jota and his brother
-
Jota and Silva were killed in a car crash in northern Spain on July 3,
2025, when their Lamborghini veered off the A‑52 motorway near Cernadilla.
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment