Wachezaji wa Eintracht Frankfurt wakisherehekea ushindi wa Kombe ka Ujerumani baada ya kuwafunga Bayern Munich 3-1 usiku wa jana Uwanja wa Olympia mjini Berlin. Mabao ya Eintracht Frankfurt yalifungwa na An Ante Rebic mawili dakika za 11 na 82 na Mijat Gacinovic dakika ya 90 na ushei, wakati la Bayern Munich lilifungwa na Robert Lewandowski dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Trophyless to treble? Man City's quest for more history
-
Manchester City were in a state of turmoil this time last year – staring at
a first trophyless season since 2017 – but they are now in with a chance of
a d...
41 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment