Wachezaji wa Eintracht Frankfurt wakisherehekea ushindi wa Kombe ka Ujerumani baada ya kuwafunga Bayern Munich 3-1 usiku wa jana Uwanja wa Olympia mjini Berlin. Mabao ya Eintracht Frankfurt yalifungwa na An Ante Rebic mawili dakika za 11 na 82 na Mijat Gacinovic dakika ya 90 na ushei, wakati la Bayern Munich lilifungwa na Robert Lewandowski dakika ya 53 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kalshi to make some users reveal job details to tackle insider trading
-
After issues with insider trading, the prediction betting platform is
adding new rules.
13 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment