Mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo akionyesha hasira zake baada ya timu yake kusawazishiwa mabao yote mawili na wenyeji Villarreal katiuka sare ya 2-2 usiku wa jana Uwanja wa Ceramica mjini Villarreal kuelekea fainali ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Liverpool katikati ya wiki. Real Madrid ilitangulia kwa mabao ya Gareth Bale dakika ya 11 na Ronaldo dakika ya 32, kabla ya Villarreal kuchomoa kupitia kwa Roger Martinez dakika ya 70 na Samu Castillejo dakika ya 85 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
South Sydney Rabbitohs 12-42 Penrith Panthers: New coach, same problems for
Bunnies in another miserable night
-
The last-placed Rabbitohs ushered in the post-Jason Demetriou era on
Thursday night but it was a case of new coach, same old Souths before 8155
fans at Acc...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment