Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu peke yake Argentina dakika za 17 kwa penalti, 58 na 66 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Haiti usiku wa kuamkia leo kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa kujiandaa na Fainali za Kombe la Dunia mwezi ujao Urusi. Bao lingine la Argentina limefungwa na Sergio Aguero dakika ya 69 Uwanja wa Alberto Jose Armando mjini Buenos Aires PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nigeria angry over treatment of citizens in South Africa as evacuation
begins soon
-
Federal Government has voiced strong displeasure over how Nigerians in
South Africa are being treated, even as arrangements to evacuate those who
want to...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment