Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia mabao matatu peke yake Argentina dakika za 17 kwa penalti, 58 na 66 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Haiti usiku wa kuamkia leo kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa kujiandaa na Fainali za Kombe la Dunia mwezi ujao Urusi. Bao lingine la Argentina limefungwa na Sergio Aguero dakika ya 69 Uwanja wa Alberto Jose Armando mjini Buenos Aires PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Who's Really to Blame for Lakers' 0-3 Playoffs Deficit to Denver Nuggets?
-
When the Los Angeles Lakers jumped out to an 8-0 lead against the Denver
Nuggets in Game 3 of their first-round series, you could almost feel the
script…
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment