Basi la wachezaji wa Juventus likikatiza mitaa ya Jiji la Turin jana kusherehekea ubingwa wa Ligi Kuu ya Italia, maarufu kama Serie A. Kibibi Kizee hicho cha Turin kilitwaa taji hilo wikiendi iliyopita baada ya sare ya 0-0 na Roma siku chache baada ya kuchukua na Kombe la Italia kwa ushindi wa 4-0 dhidi ya AC Milan, kabla ya usiku wa jana kushinda 2-1 dhidi ya Hellas Verona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chile's Boric admits 'errors' in final address as president
-
STORY: :: Santiago, Chile / March 10, 2026
:: Chilean outgoing president Gabriel Boric admits to 'errors' during his
term in his final national address
...
54 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment