Basi la wachezaji wa Juventus likikatiza mitaa ya Jiji la Turin jana kusherehekea ubingwa wa Ligi Kuu ya Italia, maarufu kama Serie A. Kibibi Kizee hicho cha Turin kilitwaa taji hilo wikiendi iliyopita baada ya sare ya 0-0 na Roma siku chache baada ya kuchukua na Kombe la Italia kwa ushindi wa 4-0 dhidi ya AC Milan, kabla ya usiku wa jana kushinda 2-1 dhidi ya Hellas Verona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Examining Bucks' Salary Cap, Decisions for 2024 NBA Free Agency After
Playoff Loss
-
It was a strange season for the Milwaukee Bucks, which ended with a
first-round playoff exit against the Indiana Pacers. In January, general
manager Jon Ho...
50 minutes ago
0 comments:
Post a Comment