Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Joseph Sinde Warioba akimkabidhi Tuzo ya Mchezaji Mwenye Umri Mdogo Zaidi kucheza Ligi Kuu mwaka 1988, kiungo wa Yanga, Athumani China. Katika sherehe hizo zilizohuhudhuriwa na viongozi wengine wa chama (CCM) na Serikali wakiwemo Ukiwaona Ditopile Mzuzuri (sasa marehemu), Alhaji Mohamed Mussa na Fatuma Said Ally - Mheshimiwa Warioba pia alimkabidhi beki wa Reli, John Simkoko tuzo ya Mchezaji Mwenye umri mkubwa kuliko wote (miaka 40).
Arne Slot hints Alisson could leave Liverpool this summer, with injury-hit
goalkeeper targeted by Juventus
-
Arne Slot has not ruled out the possibility of Alisson leaving Liverpool
this summer. The injury-hit No 1 goalkeeper, currently out of action yet
again for...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment