Shabiki wa Simba akiwa amebebwa na wenzake baada ya kupoteza fahamu kufuatia timu yake kufungwa 1-0 na Kagera Sugar Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam jana
Mashabiki wa Simba wakiwa wamembeba mwenzao baada ya kupoteza fahamu jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Mechi ya jana ilihudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli
Shabiki huyu aliwastaajabisha wengi juu ya kuzimia kwake
Alikuwa amelegea kabisa na chanzo cha kupoteza kwake fahamu hakikujulikana mapema
The Hockey Show: Talking Kelly Cup Finals, Championship DNA With Florida
Everblades Broadcaster Jake Maurice
-
Discover how the Florida Everblades built a dynasty in the ECHL as Jake
Maurice breaks down the quest for another title and his family’s winning
legacy.
6 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment