Shabiki wa Simba akiwa amebebwa na wenzake baada ya kupoteza fahamu kufuatia timu yake kufungwa 1-0 na Kagera Sugar Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam jana
Mashabiki wa Simba wakiwa wamembeba mwenzao baada ya kupoteza fahamu jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Mechi ya jana ilihudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli
Shabiki huyu aliwastaajabisha wengi juu ya kuzimia kwake
Alikuwa amelegea kabisa na chanzo cha kupoteza kwake fahamu hakikujulikana mapema
Hurricanes vs Golden Knights prediction markets for Game 4: Trade Stanley
Cup Finals on Kalshi
-
Trade on the Stanley Cup Finals with Hurricanes vs Golden Knights
prediction markets for Game 4 this evening.
5 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment