Shabiki wa Simba akiwa amebebwa na wenzake baada ya kupoteza fahamu kufuatia timu yake kufungwa 1-0 na Kagera Sugar Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam jana
Mashabiki wa Simba wakiwa wamembeba mwenzao baada ya kupoteza fahamu jana Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam
Mechi ya jana ilihudhuriwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli
Shabiki huyu aliwastaajabisha wengi juu ya kuzimia kwake
Alikuwa amelegea kabisa na chanzo cha kupoteza kwake fahamu hakikujulikana mapema
Arsenal vs Newcastle - Premier League LIVE: Latest score, team news and
updates as Gunners can regain control of title race with win over Magpies
-
Follow Daily Mail Sport's live blog for the latest score, team news and
updates as Arsenal host Newcastle in the Premier League.
30 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment