Mshambuliaji wa Nice, Mario Balotelli (kushoto) akishangilia kibabe baada ya kufunga baola kwanza dakika ya 21 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Saudi Arabia kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Kybunpark mjini St. Gallen hiyo ikiwa mechi yake ya kwanza kuchezea The Azzurri tangu baada ya Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2014 nchini Brazil. Bao la pili la timu ya Roberto Mancini lilifungwa na Andrea Belotti dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Experts rule that Brian Brobbey SHOULD have been sent off against Tottenham
after causing Cristian Romero's season-ending injury
-
If Tottenham are relegated this season - few refereeing decisions will be
cursed more than Brian Brobbey escaping being sent off. A KMI panel has
ruled tha...
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment