• HABARI MPYA

    Tuesday, May 29, 2018

    BALOTELLI AREJEA NA MABAO YAKE ITALIA IKIIPIGA SAUDIA 2-1

    Mshambuliaji wa Nice, Mario Balotelli (kushoto) akishangilia kibabe baada ya kufunga baola kwanza dakika ya 21 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Saudi Arabia kwenye mchezo wa kirafiki jana Uwanja wa Kybunpark mjini St. Gallen hiyo ikiwa mechi yake ya kwanza kuchezea The Azzurri tangu baada ya Fainali za Kombe la Dunia mwaka 2014 nchini Brazil. Bao la pili la timu ya Roberto Mancini lilifungwa na Andrea Belotti dakika ya 68 PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BALOTELLI AREJEA NA MABAO YAKE ITALIA IKIIPIGA SAUDIA 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top