Nyota wa Manchester City, Bernando Silva wa Ureno akikabiliana na mchezaji wa Tunisia wakati wa mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Munispaa ya Braga kujiandaa na Fainali za Kombe la Dunia mwezi ujao nchini Urusi timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Ureno walitangulia kwa mabao ya Andre Silva dakika ya 22 na Joao Mario dakika ya 34, kabla ya Tunisia kusawazisha kupitia kwa Anice Badri dakika ya 39 na Fakhreddine Ben Youssef dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Inside LeBron James's family feud with new Philadelphia 76ers teammate amid
the bombshell move that rocked the NBA
-
The 41-year-old, who left the Lakers after eight seasons, admitted he
thought he had played his final game, but has decided instead to sign a
two-year deal...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment