Nyota wa Manchester City, Bernando Silva wa Ureno akikabiliana na mchezaji wa Tunisia wakati wa mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Munispaa ya Braga kujiandaa na Fainali za Kombe la Dunia mwezi ujao nchini Urusi timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Ureno walitangulia kwa mabao ya Andre Silva dakika ya 22 na Joao Mario dakika ya 34, kabla ya Tunisia kusawazisha kupitia kwa Anice Badri dakika ya 39 na Fakhreddine Ben Youssef dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FDA OKs first new sunscreen ingredient in more than 25 years
-
WASHINGTON (AP) — Federal health regulators on Tuesday signed off on the
first new sunscreen ingredient for the U.S. market in more than 25 years,
giving A...
10 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment