Nyota wa Manchester City, Bernando Silva wa Ureno akikabiliana na mchezaji wa Tunisia wakati wa mchezo wa kirafiki usiku wa jana Uwanja wa Munispaa ya Braga kujiandaa na Fainali za Kombe la Dunia mwezi ujao nchini Urusi timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Ureno walitangulia kwa mabao ya Andre Silva dakika ya 22 na Joao Mario dakika ya 34, kabla ya Tunisia kusawazisha kupitia kwa Anice Badri dakika ya 39 na Fakhreddine Ben Youssef dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Declan Rice is targeted with vile chants about his girlfriend by Chelsea
fans during Arsenal clash - hours after she deleted her Instagram posts
following abuse from body-shaming trolls
-
Rice's long-term partner, Lauren Fryer (right) has deleted all of her
Instagram pictures after receiving a barrage of abuse online, which has
also taken pl...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment