Mshambuliaji Mfaransa wa Chelsea, Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia timu yake ya taifa bao la kwanza dakika ya 40 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Jamhuri ya Ireland usiku wa jana katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na Kombe la Dunia Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Bao la pili la timu ya Didier Deschamps lilifungwa na Nabil Fekir anayetakiwa na Liverpool dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Fired minor league ump sues MLB, claiming he was sexually harassed by
female colleague because he's bisexual and faced discrimination from
illegal quota system that promotes women and minorities
-
A fired minor league umpire sued Major League Baseball on Wednesday,
claiming he was sexually harassed by a female umpire and discriminated
against because...
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment