Mshambuliaji Mfaransa wa Chelsea, Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia timu yake ya taifa bao la kwanza dakika ya 40 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Jamhuri ya Ireland usiku wa jana katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na Kombe la Dunia Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Bao la pili la timu ya Didier Deschamps lilifungwa na Nabil Fekir anayetakiwa na Liverpool dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Nigeria angry over treatment of citizens in South Africa as evacuation
begins soon
-
Federal Government has voiced strong displeasure over how Nigerians in
South Africa are being treated, even as arrangements to evacuate those who
want to...
9 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment