Mshambuliaji Mfaransa wa Chelsea, Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia timu yake ya taifa bao la kwanza dakika ya 40 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Jamhuri ya Ireland usiku wa jana katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na Kombe la Dunia Uwanja wa Stade de France mjini Paris. Bao la pili la timu ya Didier Deschamps lilifungwa na Nabil Fekir anayetakiwa na Liverpool dakika ya 43 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WAEC accuses schools, supervisors of extorting candidates in ongoing WASSCE
-
By Gabriel Dike The West African Examinations Council (WAEC) on Monday said
it received alarming reports of supervisors and some schools extorting
candid...
27 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment