Kipa wa Kagera Sugar, Juma Kaseja akiwa ametulia chini baada ya kudaka mpira jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya timu yake ya zamani, Simba SC. Kaseja aliokoa penalti ya Mganda Emmanuel Okwi dakika ya 90 na kuisaidia Kagera Sugar kushinda 1-0 ugenini
Hapa Juma Kaseja anamtuliza refa Florentina Zablon wa Dodoma aliyemfuata kumkaripia kwa kupoteza muda
Florentina Zablon akimueleza Juma Kaseja kwa msistizo jana
Juma Kaseja (kushoto) na mabeki wake Mohammed Fakhi na Juma Nyosso, wote wachezaji wa zamani wa Simba wakiwa wamewawekea ulinzi washambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi na John Bocco
Juma Kaseja ambaye anacheza Ligi Kuu kwa mwaka wa 16 tangu aibukie Moro United mwaka 2002 akijimwagia maji jana wakati mchezo umesimama kwa muda
Juma Kaseja akidaka mpira mbele ya Emmanuel Okwi jana
It's not quite vodka Red Bull! Jamie Vardy chugs champagne as Leicester
celebrate title success... after the evergreen striker detailed his
unconventional pre-match diet
-
A clip shared on Tik Tok showed Vardy taking a hearty swig of champagne on
the pitch as the group honoured their achievement in front of the Foxes
faithful.
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment