Kipa wa Kagera Sugar, Juma Kaseja akiwa ametulia chini baada ya kudaka mpira jana Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya timu yake ya zamani, Simba SC. Kaseja aliokoa penalti ya Mganda Emmanuel Okwi dakika ya 90 na kuisaidia Kagera Sugar kushinda 1-0 ugenini
Hapa Juma Kaseja anamtuliza refa Florentina Zablon wa Dodoma aliyemfuata kumkaripia kwa kupoteza muda
Florentina Zablon akimueleza Juma Kaseja kwa msistizo jana
Juma Kaseja (kushoto) na mabeki wake Mohammed Fakhi na Juma Nyosso, wote wachezaji wa zamani wa Simba wakiwa wamewawekea ulinzi washambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi na John Bocco
Juma Kaseja ambaye anacheza Ligi Kuu kwa mwaka wa 16 tangu aibukie Moro United mwaka 2002 akijimwagia maji jana wakati mchezo umesimama kwa muda
Juma Kaseja akidaka mpira mbele ya Emmanuel Okwi jana
Donald Trump weighs in on Bryson DeChambeau controversy at The Open...
after American star threatened to call the President during meltdown
-
Trump addressed the drama that unfolded at Royal Birkdale, where DeChambeau
was docked two strokes during his second round for improving his lie on the
fif...
11 minutes ago


.png)
0 comments:
Post a Comment